| 07.01.2009
Miaka 30 ya uhusiano wa kibalozi baina ya Uchina na Marekani

Ni miaka 30 sasa tangu Beijing na Washington kuwa na uhusiano wa kibalozi »Mehr zu: title"
Matukio ya Kisiasa | 07.01.2009
Sherehe za Ashura huko Karbala, Iraq, zafikia kilele chake

Washia waadhimisha Ashura, kukumbuka kuuliwa Imam Hussein »Mehr zu: title"
Matukio ya Kisiasa | 07.01.2009
Mzozo wa Gesi, kati ya Urusi na Ukraine.

Urusi imesema iko tayari kuanza tena mazungumzo na Ukraine, katika juhudi za kumaliza mzozo wa Gesi kati ya nchi hizo mbili ambao tayari umeathiri nchi mbalimbali barani Ulaya. »Mehr zu: title"
Matukio ya Kisiasa | 07.01.2009
Juhudi za kidiplomasia za kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza, zinaendelea.

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo linatarajia kurudi katika majadiliano kuhusu wito wa mataifa ya Kiarabu kutaka kusitishwa mapigano mara moja Gaza, huku Misri ikitoa pendekezo la kuwa mwenyeji wa mazungumzo hayo »Mehr zu: title"
Matukio ya Kisiasa | 06.01.2009
Mzozo kuhusu mswada wa kudhibiti Uandishi Habari nchini Kenya

Hatua ya rais Mwai kibaki kutia saini mswada wa kuvidhibiti vyombo vya habari nchini Kenya imeendelea kupokelewa kwa maoni tofauti huku ikitishia kusababisha mgawanyiko katika serikali ya umoja wa kitaifa. »Mehr zu: title"







