1. main content
  2. main navigation
  3. extra content
  4. head navigation
  5. search
  6. Choose form 30 Languages


 

Matukio muhimu | 02.12.2008

Hilary Clinton ateuliwa kuwa Waziri wa mambo ya kigeni

Rais Mteule Barack Obama amtambulisha Hilary Clinton kama Waziri wa mambo ya kigeni mteule

Rais Mteule wa Marekani Barack Obama ametangaza kikosi cha masuala ya usalama na kumemteua mpinzani wake wa zamani Bi Hilary Clinton kuwa Waziri wa mambo ya kigeni nchini humo. »

 

Habari

Rais mteule Barack Obama ateua kikosi cha usalama

 CHICAGO


Rais Mteule wa Marekani Barack Obama ametangaza kikosi cha masuala ya usalama na kumemteua mpinzani wake wa zamani ... »

More news

Matukio ya Kisiasa | 01.12.2008

Mafaniko au ahadi tupu tokea kupitishwa kwa azimio la haki za binadaamu miaka 60 iliopita

Hapo tarehe 10 mwezi was Desemba mwaka 1948 mataifa wanachama wa Umoja wa Mataifa yalikubaliana juu ya azimio la dunia la haki za binaadamu.Mwaka huu mataifa hayo yanaadhamisha miaka 60 ya azimio hilo. »

 

Matukio ya Kisiasa | 01.12.2008

Mwanasiasa mwengine wa India ajiuzulu wakati hasira ikizidi kuchemka dhidi ya mashambulizi ya Mumbai

Hoteli ya Taj Mahal ni mojawapo ya sehemu mashuhuri za Mumbai zilizoshambuliwa na Waislamu wa itikadi kali.

Mwanasiasa mwengine mwandamizi wa India ameomba kujiuzulu leo hii kutokana na mashambulizi ya mji wa Mumbai ambayo yametibuwa uhusiano kati ya India na hasimu yake mwenye kumiliki silaha za nuklea Pakistan. »

 

Matukio ya Kisiasa | 29.11.2008

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kukutana tena na kiongozi wa waasi nchni Congo

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kwa mzozo wa Congo Oluseguni Obasanjo.

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa leo amewasili Goma kwa mazungumzo na kiongozi wa waasi Laurent Nkunda katika jaribio la kukomesha mzozo mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. »

 

Matukio muhimu | 01.12.2008

Siku ya Ukimwi yaadhimishwa ulimwenguni

Mkurugenzi mkuu wa shirika la UNAIDS Peter Piot akielezea ripoti ya takwimu za Ukimwi

Ni miaka 20 tangu siku ya Ukimwi kuadhimishwa kote ulimwenguni.Siku hii huadhimishwa ili kutathmini hatua zilizopigwa mpaka sasa katika vita dhidi ya Ukimwi. »

 


 
Picture of the Day
ImageOfTheDay

DW-TV EUROPE live

Projekt Zukunft - Das Wissenschaftsmagazin